Jumanne, 17 Novemba 2015

Breaking News: Job Yustino Ndugai Achaguliwa Kuwa Spika wa Bunge la 11 La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wabunge wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma wamemchagua  mheshimiwa  Job Yustino Ndugai kuwa spika wa bunge la Jamhuri wa muungano wa Tanzania.

Katibu wa Bunge Mh Dkt Thomasi Kashilila Amemtangaza Mh Job ndugai  kuwa Spika wa Bunge la 11 baada ya Kujinyakulia Kura 254 sawa na 70% ya Kura zote zilizopigwa.
Mh Ndugai amewashinda Wagombea wengine kutoka vyama na makundi     Mbalimbali

Kura zilizopigwa-365
Kura zilizoharibika-2
Malisa-0
Medeye-109
Rungwe-0
Almasi-0
Ndugai-254
Sarungi-0
Lymo-0
Kasimiu-0

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUDEWA KUPITIA C.C.M DEO NGALAWA AIFUNIKA LUDEWA.

Deo Ngalawa akimkabidhi fomu za ubunge msimamizi wa jimbo la uchaguzi la Ludewa Bw.Wiliam Waziri pembeni ni Mwanasheria wa wilaya ya Ludewa Bw.Chalamila



maandamano ya bodaboda yakiendelea kumuunga mkono Bw.Ngalawa

Jumla ya Mara Iliyotazamwa