MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugora (CCM) amewaonya baadhi ya mawaziri kutompotosha Rais John Magufuli kuwa fedha zimepotea, kutokana na baadhi ya watu kuficha majumbani kwenye magodoro wakati hiyo si sababu.
Sambamba
na hilo, amewaonya wabunge wa upinzani, kuacha kuwatumia vibaya
wananchi na kuwachonganisha na Rais wao, baada ya kuona wamebanwa kulipa
kodi.

