Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo MATOKEO. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo MATOKEO. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 4 Novemba 2016

Lugora: Mawaziri acheni kumpotosha Rais


SeeBait

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugora (CCM) amewaonya baadhi ya mawaziri kutompotosha Rais John Magufuli kuwa fedha zimepotea, kutokana na baadhi ya watu kuficha majumbani kwenye magodoro wakati hiyo si sababu.

Sambamba na hilo, amewaonya wabunge wa upinzani, kuacha kuwatumia vibaya wananchi na kuwachonganisha na Rais wao, baada ya kuona wamebanwa kulipa kodi.

Rais Magufuli kufanya mahojiano na waandishi wa habari LEO


SeeBait

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 04 Novemba, 2016 atafanya mahojiano ya kwanza na waandishi wa habari tangu aingie madarakani mwaka mmoja uliopita.

Jumla ya Mara Iliyotazamwa