Jumanne, 29 Novemba 2016

Lipumba Amtaka Maalim Seif Aache Kudanganywa na Waganga wa Kienyeji

SeeBait

Mgogoro wa uongozi ndani ya Chama cha Wanachi (CUF) unaendelea kuzua mapya ambapo jana, Mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba alimvaa tena Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad.

Profesa Muhongo, Waziri Wa Nishati Zambia Wakutana Kuzungumzia Bomba La Tazama


SeeBait
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Waziri wa Nishati wa Zambia, David Mabumba, wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu kuboresha Bomba la Mafuta la TAZAMA ili liweze kuwanufaisha wananchi wa Tanzania na Zambia kama ilivyokusudiwa.

Jumla ya Mara Iliyotazamwa