Jumanne, 12 Aprili 2016

Obama: Tulikosea Sana Kuivamia Libya na Kumuondoa Muammar Gaddafi

Rais wa Marekani Barack Obama amekiri kwa mara ya kwanza kwamba serikali yake ilifeli katika kutatua mzozo wa Libya.

Madudu Kibao Yabainika Katika Uhakiki wa Madeni ya Watumishi Wanayoidai Serikali


Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa, Kassim Majaliwa amesema Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) , amefanya uhakiki wa madeni yanayodaiwa serikali na watumishi na kubaini madudu kibao.

Rais Magufuli Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili Wa Mbunge Wa Viti Maaluum Wa Chadema Jijini Dar Leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 12 Aprili, 2016 ameungana na Ndugu, Jamaa na Marafiki kuuaga mwili wa Mbunge Mstaafu wa Mkoa wa Singida Marehemu Christina  Lissu Mughwai katika ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar es salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam atoa siku 6, ombaomba Waondoke Jijini Dar es Salaam


SERIKALI ya Mkoa wa Dar es Salaam imesema kuwa katika kuweka jiji hilo safi imejipanga kuanza na  mambo matatu ambayo ni kuwaondoa ombaomba wa barabarani, kuwabana wamiliki wa majengo makubwa yaliyojengwa kinyume na taratibu pasipokuwa na sehemu za kuegeshea magari na kuwaamuru  wamiliki wa bar kutopiga muziki nje ya utaratibu wa vibali vyao.

Jumla ya Mara Iliyotazamwa