Jumanne, 29 Novemba 2016

Lipumba Amtaka Maalim Seif Aache Kudanganywa na Waganga wa Kienyeji

SeeBait

Mgogoro wa uongozi ndani ya Chama cha Wanachi (CUF) unaendelea kuzua mapya ambapo jana, Mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba alimvaa tena Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad.

Profesa Muhongo, Waziri Wa Nishati Zambia Wakutana Kuzungumzia Bomba La Tazama


SeeBait
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Waziri wa Nishati wa Zambia, David Mabumba, wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu kuboresha Bomba la Mafuta la TAZAMA ili liweze kuwanufaisha wananchi wa Tanzania na Zambia kama ilivyokusudiwa.

MWENYEKITI WA BODI YA SHIRIKA LA MAENDELEO LA TAIFA(NDC) APOKELEWA KWA MABANGO WILAYANI LUDEWA.


  Mabango wa wananchi wa Nkomang'ombe
  Mabango wa wananchi wa Nkomang'ombe

Ijumaa, 4 Novemba 2016

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Novemba 4


SeeBait

Lugora: Mawaziri acheni kumpotosha Rais


SeeBait

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugora (CCM) amewaonya baadhi ya mawaziri kutompotosha Rais John Magufuli kuwa fedha zimepotea, kutokana na baadhi ya watu kuficha majumbani kwenye magodoro wakati hiyo si sababu.

Sambamba na hilo, amewaonya wabunge wa upinzani, kuacha kuwatumia vibaya wananchi na kuwachonganisha na Rais wao, baada ya kuona wamebanwa kulipa kodi.

Rais Magufuli kufanya mahojiano na waandishi wa habari LEO


SeeBait

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 04 Novemba, 2016 atafanya mahojiano ya kwanza na waandishi wa habari tangu aingie madarakani mwaka mmoja uliopita.

Jumla ya Mara Iliyotazamwa