Ijumaa, 15 Januari 2016

Rais Dkt. Magufuli aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar

Wizara ya Nishati Yalikana Gazeti la Mtanzania

WIZARA ya Nishati na Madini imeikanusha habari iliyotolewa kwenye gazeti la Mtanzania la tarehe 14 Januari 2016 kichwa chake cha habari kilichosomeka “HARUFU YA JIPU MRADI WA UMEME” aliyoandika mwandishi wa gazeti hilo Jonas.

Agizo la Serikali la Kukamatwa Waliomuozesha Binti wa Miaka 13


(PRESS RELEASE).
WIZARA YAAGIZA KUKAMATAWA KWA WALIOMWOZESHA MTOTO WA MIAKA 13 WILAYA YA KISHAPU, MKOA WA SHINYANGA

Kesi ya Kafulila: Mahakama Yatupilia Mbali Pingamizi la Wakili wa Serikali


MAHAKAMA Kuu Kanda ya Tabora Chini ya Jaji Sam Rumanyika jana Januari 14, 2016 imetupilia mbali mapingamizi ya Wakili wa serikali yaliyowasilishwa na kujadiliwa Januari 11, 2015 katika mahakama hiyo.

Lowassa Atangaza Kugombea Tena Urais Mwaka 2020

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana alitangaza  kwamba anajiandaa kugombea tena urais utakapofika uchaguzi mkuu ujao Oktoba 2020. 

Mpyaaaa kabisa Matokeo kidato cha pili haya hapaaaaa

Alhamisi, 7 Januari 2016

RAIS DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  Ikulu jijini Dar es Salaam leo Januari 6, 2016.

Mahakama Kuu Kitengo Cha Ardhi Yazuia Jumba la Mchungaji Lwakatare Kubomolewa


MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia nyumba anayoishi Mchungaji wa Kanisa  la  Assemblies of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare kubomolewa.

Bilioni 18.77 Zimetumwa Kwenye Akaunti Za Shule Za Msingi Na Sekondari Hapa Nchini Kwa Ajili ya Wanafunzi Kusoma Bure


KIASI cha shilingi bilioni 18.77 zimetumwa kwenye akaunti za shule za Msingi na Sekondari za halmashauri zote hapa nchini kwaajili ya wanafunzi kusoma bure.

Rais Magufuli Akutana Na Kufanya Mazungumnzo Na Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa Na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba Ikulu Jijini Dar Es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamini William Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam January 7,2016.

Jumla ya Mara Iliyotazamwa