Jumanne, 30 Juni 2015

KUMEKUCHA MAPEMAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!! POST ZA KIDATO CHA TANO HIZI HAPAAAAAAAAAAAAAAA

TAARIFA KWA UMMA

OWM-TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwakujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2015.Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali na zisizo za Serikali.

Jumla ya wanafunzi 55,003 wakiwemo wasichana 23,303 na wavulana31,700 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi.Kati ya wanafunzi waliochaguliwa 29,744 wakiwemo wasichana 11,450 nawavulana 18,294 sawa na asilimia 54.08 watajiunga na masomo ya Sayansina Hisabati; na wanafunzi 25,259 wakiwemo wasichana 11,853 nawavulana 13,406 sawa na asilimia 45.92 wamechaguliwa kusoma masomoya Sanaa na Biashara.

Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano mwaka 2015wataanza muhula wa kwanza tarehe 18 Julai, 2015 na hakutakuwa nafursa ya mabadiliko yoyote ya shule. Wanafunzi wote wanatakiwakuripoti katika shule walizopangwa kwa wakati. Endapo mwanafunziatachelewa kuripoti kwa zaidi ya siku 14 kuanzia tarehe ya mwisho yakuripoti, nafasi yake itachukuliwa na mwanafunzi mwingine aliyekosanafasi.

Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano naVyuo vya Ufundi mwaka 2015 inapatikana kwenye tovuti ya OWMTAMISEMI
ya www.pmoralg.go.tz

Imetolewa na Katibu Mkuu,

Tangazo




Post:

Uchaguzi Kidato Cha 5::.


Kila la kheri.

Alhamisi, 18 Juni 2015

LOWASSA APATA WADHAMINI LINDI, MTWARA

Mmoja wa wana CCM waliomdhamini Mh. Lowassa, mkoani Mtwara, akimuombea dua
" Ni furaha tupu", mama huyu wa mkoani Mtwara, akiwa na furaha wakati akisalimiana na Mh. Lowassa
Mh. Lowassa, akisalimiana na mzee huyu wa mkoani Mtwara

MBUNGE NASSAR ATUMIA HELKOPTA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassar akisalimiana na rubani wa Helkopta wakati anaanza ziara ya kuhamaisha zoezi la uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo mpya wa BVR.
Mbunge Nassar akifunga mikanda tayari kwa kuanza ziara.
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Jshua Nassar akizungumza na

KINANA WILAYANI MBOGWE, GEITA, JANA JUNI 17, 2015

  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika Kata ya Masumbwe, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, jana, Juni 17, 2015. (Picha na Bashir Nkoromo)
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye

Jumatano, 17 Juni 2015

Urais 2015: Mafuriko Ya LOWASSA Yatua Singida Kwa Kishindo.......Apata Wadhamni 22, 758


Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wea Monduli, Mh. Edward Lowassa, akitoa hotuba ya shukrani kwenye makao makuu ya CCM mkoa wa Singida baada ya kupata wadhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 17 Juni 2015

Ijumaa, 12 Juni 2015

WILAYA YA LUDEWA YAANDAA MPANGO WA KUKUZA SEKTA YA ELIMU

 Bw.Haji Mnasi ofisa elimu shule za msingi wilaya ya Ludewa

Bajeti kuu ya Serikali 2015/ 2016: Kodi ya Pombe na Sigara Haijaongezwa.....Petrol, Dizel na Mafuta ya taa Kodi Imepanda.....PAYE Imepunguzwa, Penshen Imeongezeka


Kwa mara kwanza Bajeti ya 2015/16, ambayo ni ya mwisho ya Serikali ya Awamu ya Nne, haijaongeza kodi katika bidhaa za pombe na sigara, badala yake imeendelea kupandisha kodi katika mafuta huku ikiminya uingizaji wa bidhaa nchini kwa ajili ya kulinda viwanda na wazalishaji wa ndani na kuongeza ajira.

Jumatano, 10 Juni 2015

KINANA ACHAPA KAZI YA MAANA KATIKA JIMBO LA BUKOBA VIJIJINI MKOANI KAGERA LEO.


 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na baadhi ya viongozi wa CCM, baada ya kuwasili Bukoba Vijijini kuendelea na ziara yake katika mkoa wa Kagera kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM na uhai wa Chama katika mkoa huo leo
 Wandesha bodaboda wakiwa wamejipanga kwenye eneo la mapokezi, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili Wilaya ya Bukoba Vijijini kuanza ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Kagera, leo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiagana kwa furaha na Mbunge wa

Chadema wawashukia watangaza nia urais CCM.



Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) kimesema watangaza nia ya urais nchini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuacha kuwadanganya wananchi kwamba wakipewa ridhaa ya kuongoza wataleta elimu bure kuanzia ngazi ya awali hadi vyuo vikuu.

Rais Kikwete: Sina Mgombea Ambaye ni Chaguo Langu



LICHA ya idadi kubwa ya makada wa CCM waliojitokeza na wanaoendelea kujitokeza kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais kupitia chama hicho tawala, Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake amesema hana mgombea, hivyo asihusishwe nao.

Mkulima wa Darasa la Saba Ajitosa Urais CCM



KATIKA hali isiyo ya kawaida, mkulima kutoka Kijiji cha Mjimtala Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, Eldoforce Bilohe (43) jana alitinga makao makuu ya Chama Cha Mapindizi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwa mgombea urais, bila kuwa na ada huku akiwa amebeba maji ya chupa kwapani.
 

Lowassa Apata Wakati Mgumu Mkoani Mara Ambako ni Nyumbani kwa Wassira........ Maelfu Ya Wananchi Wazuia Msafara Wake Wakitaka Wamuone


Waziri mkuu wa zamani Mh.Edward Lowasa aliyeko kanda ya

Magufuli Aendelea Kusaka Wadhamini, Agoma Kuzungumza


Waziri wa ujenzi Dkt. John Pombe Magufuri ambaye pia ni miongoni mwa wagombea waliochukua fomu za kuwania mbio za uraisi wa awamu ya tano amesema hawezi kuthubutu kuzungumza chochote mbele ya hadhara ya wananchi katika kipindi hiki kigumu cha kutafuta wadhamini na kwamba kufanya hivyo nikukiuka maadili ya chama chake.

Alhamisi, 4 Juni 2015

Fredrick Sumaye, Siyatemi wachukua fomu za kugombea urais

Jini Kabula: Sijawahi kulala gesti na mwanaume

MAGUFULI NAYE HAKUWA MBALI KACHUKUA FOMU KUGOMBEA URAISI 2015 CCM.

Edward Lowassa, Dk. Bilal wachukua fomu za kugombea urais


Mbunge wa Monduli Edward Lowassa mara baada ya kuchukua fomu  jana jioni.
 
Edward Lowassa katika ukumbi wa Nec makao makuu ya CCM Dodoma.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA 5 JUNI HAYA HAPAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


UJENZI WA LAMI KATIKA BARABARA ZA MITAA YA MJI WA LUDEWA WASHIKA KASI

 ujenzi wa barabara za lami ukiendelea katika mitaa ya mji wa Ludewa
barabara ya kutoka katikati ya mji kuelekea ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Ludewa zikiwa katika ujenzi wa kiwango cha lami

HII NDIYO LUDEWA TUITAKAYO WANALUDEWA

 Mbunge wa jimbo la Ludewa Mh.Deo Filikunjombe akipokelewa na wananchi wa kata ya Ibumi kwa shangwe kubwa baada ya kufanya makubwa ya kimaendeleo wilayani Ludewa
hawa ni baadhi ya wananchi waliokuja kumshangilia

Mwakyembe Akana kutumia Richmond Kumchafua Lowassa...... Umoja wa Ulaya nao wakana kuhusika Kumchafua.


WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kusema hajawahi kumshambulia kwenye mitandao Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhusu sakata la Richmond.

Jumatatu, 1 Juni 2015

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 2 Juni 2015


Diwani NCCR-Mageuzi afukuzwa Uanachama


CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimemfukuza uanachama Diwani wake wa Kata ya Kasulu Mjini, Isack Rashid kikimtuhumu kutoa siri za chama na kuzusha migogoro kati yake na viongozi wenzake.

Maelfu ya wananchi kumsindikiza Lowassa kuchukua fomu ya Urais


Waziri Mkuu Wa zamani Edward Lowassa  anatarajia kwenda makao makuu ya chama cha Mapinduzi maarufu kama White House mkoani Dodoma  june 3 akisindikizwa na maelfu ya wananchi.

Jumla ya Mara Iliyotazamwa