Alhamisi, 4 Juni 2015

UJENZI WA LAMI KATIKA BARABARA ZA MITAA YA MJI WA LUDEWA WASHIKA KASI

 ujenzi wa barabara za lami ukiendelea katika mitaa ya mji wa Ludewa
barabara ya kutoka katikati ya mji kuelekea ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Ludewa zikiwa katika ujenzi wa kiwango cha lami





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa