Alhamisi, 18 Juni 2015

LOWASSA APATA WADHAMINI LINDI, MTWARA

Mmoja wa wana CCM waliomdhamini Mh. Lowassa, mkoani Mtwara, akimuombea dua
" Ni furaha tupu", mama huyu wa mkoani Mtwara, akiwa na furaha wakati akisalimiana na Mh. Lowassa
Mh. Lowassa, akisalimiana na mzee huyu wa mkoani Mtwara
Mh. Lowassa, (mwenye nywele nyeupe juu kulia), akitoa shukrani zake kwa wana CCM na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Lindi, waliofurika kwenye ofisi za ccm mkoani humo, alkipofika kuomba wana CCM wa kumdhamini. Mkoani Lindi alipata udhamini wa wana CCM 3, 279
Umati wa watu waliofurika ofisi za CCM mkoani Lindi, kumshuhudia Mh. Lowassa alipofika kuomba wadhamini
Mh. Lowassa, akiondoka ofisi za CCM mkoani Lindi baada ya kukamilisha zoezi la kuomba wadhamini

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa