Jumatano, 4 Februari 2015

Moja ya story za mitandaoni, ni dalili za mgogoro wa Jay na Bey

NBA All-Star Game 2013
Mara nyingi mastaa hawa Beyonce na Jay Z wamekuwa ni watu wa furaha na wakati wote huwa pamoja lakini ni mara chache kwa wawili hawa kuwakuta wakiwa wanagombana katika sehemu yenye mkusanyiko wa watu.

bey argung
Beyonce akizozana na Jay Z wakati wakipata chakula

Wakiwa ndani ya mgahawa wa Sushi iliopo LA wakipata chakula walionekana kutofautiana huku Bey akionekana kukasirika na kuwa mkali baada ya kuanzisha ugomvi huo dhidi ya mumewe.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa