Ijumaa, 6 Februari 2015

NFT CONSULT WAPANIA KULETA MABADILIKO TANZANIA

DSC_0252
Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku moja iliyoendeshwa na kampuni ya NFT

KUINGIA KWA SEKTA YA AFYA KATIKA BRN KUNALETA MATUMAINI MAPYA

Mtendaji Mkuu wa PDB Bw. Omari Issa akielezeaumuhimu wa sekta ya Afya kuingia BRN kuungana na sekta nyingine zilizotangulia zinazoendelea kuzaa matunda
kip2
Dr Linda Ezekiel ambae ni Mkurugenzi wa sekta za jamii (Afya, Elimu na Maji)

BEYONCE AANZISHA BIASHARA YA CHAKULA MAALUM KWA DIET

 Mwanamuziki nyota wa miondoko ya Pop ulimwenguni

DKT. BILAL AMFARIJI JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KWA KUFIWA NA MAMA YAKE MZAZI


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya M uungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akisaini kitabu cha kumbukukmbu kufuatia kifo cha mama mzazi wa Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani nyumbani kwake Kimara leo Februar 06, 2015 alipofika kwa ajili ya kumfariji.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya M uungano wa Tanzania Mhe. Dkt.

Jeshi la Polisi lashiriki kuzindua magari mapya ya kampuni ya ulinzi ya Security Group Afrika Jijini Dar

 Mwakilishi wa Mkuu wa Jeshi la polisi nchini Kamishina wa Polisi Mussa Ally Mussa akiwa na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu Philimon Mgaya akikata utepe wa kuashiria kuzindua magari mapya Zaidi ya ishirini ya kampuni ya ulinzi ya Security Group Africa ambayo yataanza kutumika katika kazi mbalimbali za kampuni hiyo hivi karibuni.Katikati yao ni mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo Eric Sambu.
 Mwakilishi wa Mkuu wa jeshi la polisi nchini Kamishina wa Polisi Mussa

TANZANIA KUBADILISHANA WAFUNGWA NA NCHI ZA THAILAND NA MAURITIUS


indexNa Lorietha Laurence-Maelezo,Dodoma
SERIKALI ya Tanzania imeingia mkataba wa kubadilishana wafungwa kwa nchi za Thailand na Mauritius ambapo hadi sasa Tanzania imeweza kupokea wafungwa kumi kutoka nchi hizo kutekeleza mkataba huo.

MASHABIKI WA WEMA SEPETU WAPANIC MARA BAADA YA DIAMOND THE PLATNUMZ KUPOST PICHA NA KUTAKA MASHABIKI WAKE WAMCHAGULIE MTOTO WA KUPATA




Baada ya diamond the platnumz kupost picha na kuwaambia mashabiki wamchagulie kama anataka mtoto wa kiume au wa kike, katika mtandao wa kijamii wa instagram  ilioneka moja wa shabiki wa wema huko insta analotumia jina la @wemaselfie hakukubaliana na kitendo hicho na kuyaandika maneno ya fuatayo: Yani sinawahi kuona.. mtuu anae pend attention kama blaza domo... dah... sumtz na wish wa tanzania

ASKARI WA JWTZ AUWAWA NA WANANCHI- MBEYA

 
KUTOKA MBEYA:
Raia waua askari wa jwtz mbalizi mmoja na mwingine mahututi amekimbizwa hospital ya rufaa mbeya section mmoja ffu iko eneo la tukio.

Jumatano, 4 Februari 2015

MSIBA: MJUMBE WA HALMASHAURI KUU TAIFA CCM NEC KWA WILAYA YA LUDEWA ELIZABETH AUGUSTINO HAULE AMEFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA TAREHE 5/02/2015 KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA LUDEWA


 Elizabeth Augustino Haule enzi za uhai wake akiwa katika majukumu ya chama cha mapinduzi wilayani Ludewa.

WEMA SEPETU AIBU TUPU! HIRIZI YENYE PICHA YA DIAMOND YAKUTWA NYUMBANI KWAKE!


IMANI za kishirikina? Mshangao wa aina yake umetokea nyumbani kwa Miss Tanzania 2006 asiyechuja, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ baada ya kutupiwa hirizi getini kwake, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili.
Wananchi wakishuhudia hirizi getini kwa Miss Tanzania 2006 asiyechuja, Wema

DIAMOND ATHIBITISHA KUWA ZARI NI MJAMZITO....ONA KITUMBO KILIVYOTOKEZA.


“Kileeeeeeee kinaanza

Moja ya story za mitandaoni, ni dalili za mgogoro wa Jay na Bey

NBA All-Star Game 2013
Mara nyingi mastaa hawa Beyonce na Jay Z wamekuwa ni watu wa furaha na wakati wote huwa pamoja lakini ni mara chache kwa wawili hawa kuwakuta wakiwa wanagombana katika sehemu yenye mkusanyiko wa watu.

RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AKARIBISHWA IKULU NA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE

1
Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha mgeni wake Ikulu Rais wa Ujerumani Mhe. Joachim Gauck ambaye ameongozana na mke wake Bibi schadt leo tarehe.03.02.2015.
2
Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete akimtambusha Rais wa Ujerumani Mhe. Joachim Gauck kwa viongozi mbalimbali wa kitaifa

TIC YAKUTANA NA UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA NCHINI UJERUMANI

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC),Juliet

Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt atembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Temeke leo


Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt akisalimiana na maofisa wa Jeshi la Polisi wakati alipotembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Cha Temeke leo.

KIJANA ACHOMWA KISU, KISA MGAWO WA FEDHA HUKO MARA!

Bw. Mugusuhi Nyarusahe (39) aliyecharangwa kwa visu na wenzake.Stori:Gregory Nyankaira, Butiama/Risasi Mchanganyiko
MTU mmoja, Mugusuhi Nyarusahe (39) mkazi wa Kijiji cha Kinyambwiga wilayani Bunda, amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU), cha Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara baada ya kucharangwa visu na wenzake tumboni, katika kile kilichodaiwa kuwa ni mzozo wa mgawo wa fedha

ASKARI WA JWTZ AUAWA KINYAMA, VIUNGO VYA MWILI WAKE VYANYOFOLEWA IKIWEMO SEHEMU ZA SIRI

Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kikosi cha 27 Makoko kilichopo Musoma, Praiveti Wilfred Koko amekutwa ameuawa na kuondolewa sehemu ya viungo vya mwili katika eneo la kikosi hicho.

SAMUEL ETO'O NI MAJANGA TUPU!

Ikiwa imepita wiki moja tu tangu asajiliwe na klabu ya Italia ya Sampdoria, mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Cameroon Samuel Eto’o ameripotiwa kuwa kwenye utata wa kutaka kuihama klabu hiyo baada ya kutoelewana na kocha wake.

NDEGE YAANGUKIA MTONI NA KUUA WATU 12

Waokoaji wakinasua watu waliokuwa ndani ya ndege hiyo.

Jumapili, 1 Februari 2015

Uchaguzi Mkuu 2015: Umuhimu wa LOWASSA na Uzalendo wa Watanzania

Kwa  sasa  nazungumza  kama  mtanzania  mzalendo, sababu  itikadi  ya  uzalendo  ni  moja  tu  nayo  ni  mapenzi  kwa  kile  unachokiamini  kuwa  ni  cha  kweli.........

IPUMBA AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI LEO NA KUZUNGUMZA KWA UCHUNGU KWA KUPIGWA NA POLISI KWENYE MAANDAMANO...AMTAKA KIKWETE AFUTE KESI


Mwenyekiti wa profesa  CUF IBRAHIM LIPUMBA akiwasili katika mkutano huo 

Kwa mara ya Kwanza tangu kutokea kwa vurugu za

DIAMOND PLUTNAMZ ATUA NA MPENZI WAKE ZARI MJINI SONGEA

1Mwanamuziki Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari wakiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea tayari kwa kufanya onesho kubwa kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM zinazofanyika kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea leo ambapo viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Dr. Jakaya Kikwete.PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SONGEA.2Diamonda Plutnamz akiongozana na mpenzi wake Zari wakiondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songea kuelekea hotelini.

KIKWETE AONGOZA SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM MJINI SONGEA


Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na maelfu ya wananchi wakati akiingia katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo kuongoza kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM.
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa viongozi mbali mbali wa CCM wakati akiingia

Jumla ya Mara Iliyotazamwa