Ijumaa, 27 Machi 2015

WANAFUNZI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMA MBEYA MAFUNZONI BUNGENI DODOMA HII LEO

WANAFUNZI 97 kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma, Tawi la Mbeya, leo wapo Bungeni mjini Dodoma kwa ziara ya kimafunzo. Wanafunzi hao wanaosomea fani mbalimbali zikiwepo utunzaji kumbukumbu na makatibu Muktasi watajifunza vitu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kujioenea moja kwa moja namna shughuli za Bunge zinavyofanyika. 
Wanafunzi wakifuatilia mjadala kwa umakini.

Lowassa: Siwezi kuzuia mafuriko kwa mikono


 

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema kuwazuia wananchi kwenda nyumbani kwake kumshawishi agombee urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mkono.

Lowassa alitoa kauli hiyo nyumbani kwake mjini Dodoma jana wakati alipotembelewa na kundi jipya kutoka Mbarali

Warioba: Tunahitaji rais mzalendo

Jaji Joseph Warioba 


Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Jaji Joseph Warioba, ametaja sifa za rais ajaye kuwa ni uzalendo, uadilifu na dira

Hesabu za uandikishaji BVR zinagoma


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya Bunge, mjini Dodoma jana. 
Picha na Anthony Siame. 
Dar/Dodoma. Licha ya Serikali kusisitiza kuwa uandikishaji wa wapigakura nchi nzima kwa mfumo wa BVR utakamilika Aprili 28 na Kura ya Maoni kufanyika Aprili 30,

JUHUDI ZA FILIKUNJOMBE KATIKA KUTATUA KERO YA MAJI KATIKA MJI WA LUDEWA ZALETA MATUMAINI

Huu ni mradi ambao umejengwa kwa fedha zake Filikunjombe

KILELE CHA SIKU YA MAJI DUNIANI KIMKOA CHAFANYIKA WILAYANI LUDEWA KATIKA KIJIJI CHA MUHOLO




MDAU WA MAENDELEO KATA YA LUANA BWANA AUGUSTINO LUGOME ATOA MSAADA WA MABOMBA KIJIJI CHA MBWILA YENYE THAMANI YA SHILINGI 3.5 MILIONI

Augustino Lugome akiongea na wananchi wa kijiji cha Mbwila
 Bw.Lugome akiwa amebebwa na wananchi wa Mbwila baada ya kutoa masaada wa mabomba rolu

CHAMA CHA WALIMU LUDEWA CHATOA TAMKO KALI LA KUPINGA KODI KATIKA NYUMBA WANAZOISHI WALIMU

Mwenyekiti mpya wa  chama cha walimu(CWT) wilaya ya Ludewa Mwalimu Fikiri Mgina akiwashukuru wajumbe kwa kumachagua kuwa kiongozi wao kwa muda wa miaka mitano ijayo.

Hii ndiyo safu mpya ya uongozi wa chama cha walimu wilaya ya Ludewa

Ijumaa, 20 Machi 2015

Wanne wahukumiwa kunyongwa kwa kuua albino Tanzania


 

Watuhumiwa wa kesi ya mauaji ya mlemavu wa ngozi, Zawadi Magimbu (32) wakiwa ndani ya Mahakama Kuu Kanda ya Geita baada ya kuhukumiwa kunyongwa. Kutoka kushoto ni Nasoro Charles, Singu Siantemi, Masaru Kahindi na Ndahanya Lumola. Picha na Jackline Masinde.  

AJALI MBAYA YAUA WATU 7 NA KUREJURHI 26 BAADA YA MABASI KUGONGANA HUKO MIKUMI, MOROGORO!

   Watu saba wamefariki dunia 26 wamejeruhiwa baada ya basi la Msanga Express likitokea Morogoro kwenda Mahenge kugongana na basi la kampuni ya Luwinzo lililokuwa likitoa Njombe kwenda jijini Dar es Saalam katika eneo la hifadhi ya Mikumi barabara ya Morogoro Iringa.Wananchi walioshuhudia tukio hilo wamesema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva wa basi la Msanga Express alikuwa akijaribu kulipita lori bila tahadhari na kisha kutoa gari barabarani wakati akikwepa ajali ya uso kwa uso ambapo aligongwa upande wa kulia.

 Inaelezwa kua watu sita walifariki dunia papo hapo na

NAIBU INSPEKTA JENERALI WA POLISI AFUNGA MAFUNZO YA WAKAGUZIWASAIDIZI WA JESHI LA POLISI CCP-MOSHI

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi,DIGP, Abdulrahmani Kaniki akikagua gwaride la wakaguzi wasaidizi wa polisi wakati wa sherehe ya kufunga mafunzo ya maofisa hao katika chuo cha polisi Moshi.
Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi,DIGP, Abdulrahmani

BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI


Abiria wapatao 65 wamenusurika kifo baada ya dereva wa Bus la Nganga

GARI LA LUINZO LAGONGANA USO KWA USO NA GARI LA MSANGA EXPRESS NA KUUWA WATU WANNE

Watu wa nane wamefariki Dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia ajali ya Basi la Luinzo lililokuwa likitokea njombe

Mashabiki wa Roma wakimbia uwanjani,wachezaji wafanya kazi ya ziada kuwaomba radhi.

1
Kiungo Danielle De Rossi akizungumza na mashabiki wa Roma…….

Mashabiki wa klabu ya As Roma ya nchini Italia walikimbia uwanjani baada ya kuishuhudia timu yao ikiwa nyuma kwa mabao 3:0 baada ya dakika 22 kwenye mchezo wa marejeano wa raundi ya 16 bora ya kombe ya Europa dhidi ya ndugu zao Fiorentina.

2
Nahodha Francesco Totti ambaye jana hakucheza ilimbidi

KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI ARUSHA

1Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kazi ya kugonga kokoto pamoja na akina mama wajasiriamali katika kata ya Elerai mjini Arusha  wakati alipowatembelea  na kukagua shughuli zao,  ambapo aliwaambia “Asiwasumbue mtu wala kuwaambieni muondoke kwani ninawafahamu kwa muda mrefu toka nikiwa Mbunge wa jimbo hili  la Arusha mjini miaka ya nyuma”, aliwaagiza viongozi wa CCM wa kata hiyo kutojiingiza hata kidogo na kuleta mgogoro na wananchi hao ambao wanajitafutia rizki katika kazi yao hiyo.

Ameongeza kuwa CCM ni chama kinachotakiwa kuwasemea na kuwatetea wanyonge na siyo kuwakandamiza na kuwaonea  “Lazima viongozi na watendaji wa serikali na chama wawajibike kwa wananchi ambao ndiyo walioingia mkataba na CCM ambayo iliunda serikali inayotekeleza ilani yake” amesema .
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana yuko katika ziara ya kikazi ya mkoa wa Arusha akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010, inayotekelezwa na serikali ya CCM huku akihimiza uhai wa Chama hicho akiongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-ARUSHA)2

MAKAMISHNA WA POLISI WAPYA WAAPISHWA.

Kamishna wa Polisi Elice Mapunda akila kiapo mbele ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu baada ya kupandishwa cheo na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Naibu Kamishna wa Polisi kuwa Kamishna wa Polisi. Katikati ni Msemaji wa Jeshi hilo Mrakibu Mwandamizi wa Polisi Advera Bulimba. Hafla hiyo fupi ilifanyinyika jana Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam.
(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi).
Kamishna wa Polisi Diwani Athumani akila kiapo mbele ya

WAZIRI LUKUVI ASIKILIZA KERO ZA WANANCHI WILAYA ZA ARUMERU NA JIJI LA ARUSHA,ATAKA UTARATIBU WA KUMBUKUMBU ZA MASJALA UFUATWE


004
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,William Lukuvi(kulia)akiwasili kwenye makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Arusha,iliyopo wilayani Arumeru katika ziara yake ya siku tatu na ujumbe wake.
007
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,William Lukuvi akizungumza na wakazi wa wilaya ya Arumeru kwenye viwanja vya

MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBEIR KABWE, MB KUHUSU UANACHAMA WAKE KATIKA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) NA HATMA YAKE KAMA MBUNGE KATIKA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

1. Mheshimiwa Spika, ninakushukuru sana kwa fursa uliyonipa kutoa maelezo yangu binafsi katika Bunge lako Tukufu leo. Ninatoa maelezo haya kwa mujibu wa Kifungu cha 50 (1) cha Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Aprili, 2013 kinachosema kwamba,

Jumanne, 17 Machi 2015

FILIKUNJOMBE AWAFUNDA WAJASILIAMALI WILAYANI LUDEWA

Filikunjombe akiongea na wajasiliamali

KAMANDA WA CHADEMA LUDEWA ATOA SHILINGI MILIONI MBILI KWAAJILI YA KUKIJENGA CHAMA.

Bw.Ocol Haule akikabidhi fedha taslimu kiasi cha shilingi milioni mbili kwa viongozi wa Chadema wilaya ya Ludewa.

 Stakabadhi ambayo Bw.Ocol Haule alipewa na Chadema wilaya ya Ludewa baada ya kutoa fedha 

FILIKUNJOMBE AWATAKA WANANCHI WA WILAYA LUDEWA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.


 Filikunjombe akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kujiandikisha na kukabidhiwa kitambulisho, mwenye miwani ni kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Prof.Amone Chaligha

Jumamosi, 14 Machi 2015

AJALI NYINGINE YA BASI NA LORI MAPEMA LEO DODOMA

Basi la Osaka likiwa katika Mtaro baada ya kupata ajali na Roli kugongana leo asubuhi likitokea likitokea Dodoma 
Roli lililogongana na Basi la Osaka likiwa limefunga njia

Jumatano, 11 Machi 2015

HOFU YA UFISADI YAMFANYA WAZIRI WA UCHUKUZI KUZUIA UINGIZAJI MABEHEWA 124 YA MIZIGO YA KAMPUNI YA RELI TANZANIA.


Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta


Dar es Salaam.
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amezuia uingizaji wa mabehewa 124 ya mizigo yaliyobaki katika zabuni iliyofanywa na Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), hadi pale uchunguzi wa tuhuma za ufisadi katika manunuzi hayo utakapokamilika.

BannerFans.com MWENYEKITI WA UDP JOHN CHEYO AWAKARIBISHA AKINA ZITTO KABWE KUWANIA URAIS KATIKA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2015 KUPITIA CHAMA CHAKE. 11 Mar 2015 / 0 comments BREAKING NEWS !!! KONTENA LA LORI LAANGUKIA BASI LA ABIRIA NA KUWAKANDAMIZA BAADA YA KUTOKEA AJALI YA BARABARANI IRINGA. 11 Mar 2015 / 0 comments HOFU YA UFISADI YAMFANYA WAZIRI WA UCHUKUZI KUZUIA UINGIZAJI MABEHEWA 124 YA MIZIGO YA KAMPUNI YA RELI TANZANIA. 11 Mar 2015 / 0 comments KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA UDAKU JUMATANO YA MARCHI 11/ 2015, IKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI. 11 Mar 2015 / 0 comments JESHI LA POLISI RUKWA LAWATOLEA UVIVU WAGANGA WA JADI, WAWASWEKA LUPANGO TUHUMA ZA UKATILI WA KUKATWA KIGANJA CHA MKONO KWA ALBINO. 11 Mar 2015 / 0 comments HIKI NDICHO KINACHODAIWA KUSABABISHA ZITTO KABWE KUSHINDWA KESI MAHAKAMA !. 10 Mar 2015 / 0 comments BREAKING NEWS!! ZITTO KABWE AVULIWA RASMI UANACHAMA CHADEMA. 10 Mar 2015 / 0 comments JK AFICHUA SIRI UTAWALA WAKE KWA WANAWAKE KIPINDI CHA MIAKA 10. 10 Mar 2015 / 0 comments KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA HARDNEWS JUMANNE YA MARCHI 10 / 2015, IKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI. 10 Mar 2015 / 0 comments MWANAFUNZI WA SEKONDARI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMNYAMG'ANYA SILAHA ASKARI JIJINI TANGA. 10 Mar 2015 / 0 comments MWENYEKITI WA UDP JOHN CHEYO AWAKARIBISHA AKINA ZITTO KABWE KUWANIA URAIS KATIKA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2015 KUPITIA CHAMA CHAKE. BREAKING NEWS !!! KONTENA LA LORI LAANGUKIA BASI LA ABIRIA NA KUWAKANDAMIZA BAADA YA KUTOKEA AJALI YA BARABARANI IRINGA. HOFU YA UFISADI YAMFANYA WAZIRI WA UCHUKUZI KUZUIA UINGIZAJI MABEHEWA 124 YA MIZIGO YA KAMPUNI YA RELI TANZANIA. KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA UDAKU JUMATANO YA MARCHI 11/ 2015, IKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI. JESHI LA POLISI RUKWA LAWATOLEA UVIVU WAGANGA WA JADI, WAWASWEKA LUPANGO TUHUMA ZA UKATILI WA KUKATWA KIGANJA CHA MKONO KWA ALBINO. HIKI NDICHO KINACHODAIWA KUSABABISHA ZITTO KABWE KUSHINDWA KESI MAHAKAMA !. BREAKING NEWS!! ZITTO KABWE AVULIWA RASMI UANACHAMA CHADEMA. JK AFICHUA SIRI UTAWALA WAKE KWA WANAWAKE KIPINDI CHA MIAKA 10. KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA HARDNEWS JUMANNE YA MARCHI 10 / 2015, IKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI. MWANAFUNZI WA SEKONDARI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMNYAMG'ANYA SILAHA ASKARI JIJINI TANGA. BREAKING NEWS !!! KOCHA MKUU WA KLABU YA POLISI MORO SC MOHAMED RISHARD ADOLP AFUKUZWA KAZI.



Kocha mkuu wa klabu ya Polisi Moro SC, Mohamed Rishard "Adolf" akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati waa mazoezi ya klabu hiyo katika uwanja wa jamhuri Morogoro, PICHA/MTANDA BLOG.

Kocha mkuu wa klabu ya Polisi Moro SC, Mohamed Rishard Adolp amefungashiwa virago na uongozi wa klabu hiyo kufuatia kile kilichoonekana kuwa timu yao kushindwa kufanya vizuri katika ligi kuu tanzania bara msimu wa mwaka 2014/2015 tofauti na malengo waliokubaliana nayo.

Kwa taarifa zaidi endelea kufuatia..............

MWENYEKITI WA UDP JOHN CHEYO AWAKARIBISHA AKINA ZITTO KABWE KUWANIA URAIS KATIKA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2015 KUPITIA CHAMA CHAKE.




Mwenyekiti wa UDp, John Cheyo.

Dar es salaam.
Mbunge wa Bariadi Mashariki na Mwenyekiti wa Chama cha UDP, John Cheyo amesema wanakaribisha wanachama wa chama chochote cha siasa nchini kuwania nafasi ya urais kupitia chama hicho.

BASI LAUA ZAIDI YA ABIRIA 40 BAADA YA KUANGUKIWA NA KONTENA IRINGA


ABIRIA zaidi ya 40 wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la Majinja Express ambalo lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam kufunikwa na kontena maeneo ya Changalawe, Mafinga mkoani Iringa muda huu.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo ni kwamba dereva wa basi alikuwa akijaribu kulipita lori ndipo walipodondokewa na kontena hilo.
Inadaiwa kuwa basi hilo lilikuwa limebeba abiria 65 na abiria nane tu ndiyo walionusurika katika ajali hiyo mbaya.

Jumla ya Mara Iliyotazamwa