Jumamosi, 31 Januari 2015

UNYAMA, UDHALILISHWAJI MTALAKA WA ISHA MASHAUZI UKWELI NI HUU

Stori: Musa Mateja/Risasi
HATIMAYE ukweli wa kutekwa, kuteswa kwa kudhalilishwa kwa aliyekuwa mume wa mwimba  taarab mahiri Bongo, Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’, umejulikana, Risasi Jumamosi limechimba.
Mfanyabiashara, Jumanne Hassan ‘Tevez’ akiwa amefungwa kamba na watesi wake.

Chenge Ageuka Mbogo Bungeni baada ya kuitwa FISADI.......Amtaka Halima Mdee Atoe Ushahidi Kuthibitisha Kauli yake



MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) ametakiwa kuwasilisha ushahidi kuthibitisha kauli yake ya kumtuhumu Mbunge Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), kwa ufisadi.
 
Chenge alilazimika kuomba utaratibu wa kiti JANA,

UFUSKA WA MASTAA BONGO

Stori: Shakoor Jongo na Musa Mateja
NI laana! Baadhi ya mastaa wamenaswa laivu wakifanya vitendo

LICHA YA CHANGAMOTO NYINGI BARA LA AFRIKA LINAPIGA HATUA, ZUMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akisoma makabrasha ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU unaofanyika kwa siku mbili jijini Addis Ababa kuanzia leo. Nyuma ya Mhe. Rais ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb). Waziri wa Jinsia na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Sophia Simba (Mb) na Balozi wa Tanznia nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz (mwenye ushungi).

MEYA MANISPAA MOROGORO, WAANDISHI WA HABARI WAPATA AJALI

Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ( wa kwanza kushoto) akiwa na Mkuu wa wilaya ya Morogoro , Said Amanzi , wakipita eneo ambalo gari la namba SM 4151 Nissan iliyokuwa ikitumiwa na Meya wa Manispaa ya Morogoro, Amir Nondo , ilipogongwa Januari 30, mwaka huu saa 9: 30 alasiri eneo la Mzambarauni Darajani -Msamvu barabara kuu ya Moro- Dar na Basi la Abiria aina ya Scania yenye namba za usajili T 831 CEH (Happy Africa ),iliyokuwa ikitokea mkoani Njombe kwenda Dar es Salaam .Meya huyo na watu wengine watatu walijeruhiwa na kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro na kulazwa wakindelea kupatiwa matibabu.
Gari la Meya likiwa halitamaniki.

NEY WA MITEGO AZUNGUMZIA BANGI ILIVYOMTENGA NA MAMA YAKE NA KUFUKUZWA NYUMBANI

Mwanamuziki anaetamba na hits single ya Akadumba Nay wa Mitego amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake ya utafutaji na kuhangaika na sanaa kuna watu wengi waliamini kuwa anapoteza muda.
Nay amesema watu hao pia wanadai kuwa bangi ndizo zinampotezana kufanya muziki ambao waliamini kuwa unaleta chuki au usingeweza kumtoa na kumtabulisha kama wasanii wengine ambao walitamba kipindi hicho yeye

WEMA SEPETU AKAMATWA NA POLISI, SOMA KISA KIZIMA HAPA

Waandishi Wetu/Amani
KATIKA hali ya kushangaza, polisi walijikuta wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ambaye alidaiwa kupiga muziki kwa sauti kubwa usiku kucha pasipo kuwa na kibali, Amani linakupa mchapo.
Timu iliyofika nyumbani kwa Wema Sepetu kumkamta kwa usumbufu aliosababisha kwa majirani.
Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita,

NAPE AANZA AMSHA-AMSHA YA MIAKA 38 YA CCM MJINI SONGEA

 Wananchi wakiwa katika shamrashamra za kumpokea Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye leo kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Ruvuma mjini Songea leo, alipowasli kwa ajili ya kuanzisha amsha amsha ya Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM ambayo inafanyika Jumapili hii, Kitaifa mjini Songea kwa kuongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete.
 Mratibu wa Maadhimisho ya Miaka 38 ya CCM, Emaanuel John Nchimbi akiwasili kwenye Ofisi hiyo ya CCM mkoa wa Ruvuma leo kumpokea Nape
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto) akiongoza wananchi kwenda katika maeneo mbalimbali kuzindua mashina ya

MKASA MZIMA WA YULE MAMA ALIYEWANYONGA WATOTO WAKE WAWILI WA KUWAZAA KWA UCHUNGU NA KUWAFUKIA NDANI KWAKE:

BADO hali ni tete kufuatia mwanamke mmoja, Zuhura Sudi (26), mkazi wa Mtaa wa Utusi Kata ya Chemchemi Manispaa ya Tabora kudaiwa kuwaua kwa kuwakaba shingo watoto wake wawili, Mwamvua (6) na Sudi Mrisho (miezi saba) kisha kuwazika kwenye mashimo mawili ndani ya nyumba.

Mwanamke (Zuhura Sudi) anayetuhumiwa kuwaua watoto wake.

Bifu la Ali Kiba na Diamond Lafika Pabaya......Ni vita ya kugombea nyota ya Ustaa, Lulu, Wolper na Wema Sepetu wahusishwa


Hatimaye Kwa mara ya kwanza staa ‘the big name’ wa Bongo Fleva ndani na nje ya Bongo, Ali Saleh Kiba ameibuka na kumlipua hasimu wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, hali inayotafsiriwa kwamba bifu lao sasa limefika pabaya ikidaiwa kwamba wanagombea nyota (ustaa).

Kupitia Kipindi cha The Sporah Show, usiku wa Jumanne wiki hii kwenye

Jumatatu, 26 Januari 2015

Aibu!! DIWANI WA CCM ANUSURIKA KUPIGWA NA WANANCHI BAADA YA KUNASWA AKIVUNJA AMRI YA 6 NA MWANAFUNZI!!



Katika hali isiyokuwa ya kawaida diwani wa kata ya Nyugwa katika halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale mkoani mkoani Donald Kabosolo (CCM) amenusurika kupigwa na wananchi wenye hasira kali mara baada ya kukutwa akifanya mapenzi na mwanafunzi Nyugwa sekondari.

Tukio hilo la aina yake  lililoshangaza na kusikitisha wananchi

PITIA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JAN 26,2015 KWA HABARI ZA UDAKU, MICHEZO NA HARD NEWS

.


.
.

Jumapili, 25 Januari 2015

Majambazi wawili wauawa Dar


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata silaha moja aina ya SMG yenye namba BA172288 na risasi 13 wakati wa mapambano makali ya ana kwa ana kati ya majambazi na Jeshi la Polisi.

Taarifa iliyotolewa na jeshi hilo Kanda Maalum ya Dar es salaam, imesema

Mtuhumiwa ajinyonga akiwa mahabusu


MTUHUMIWA mmoja aliyejulikana kwa jina la Bosco Ndunguru(40) aliyekuwa akishikiliwa katika kituo kikuu cha polisi wilayani Mbinga mkoani Ruvuma amekutwa akiwa amejinyonga kituoni hapo kwa kutumia shati alilokuwa amaelivaa wakati akiwa mahabusu.

Kwa mujibu wa kamanda wa polisi wa mkoa wa

Taarifa ya JWTZ kuhusu shutuma za kutumia nguvu Kisarawe na kusababisha Wananchi Kupoteza mali zao


Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa kwa wananchi na Vyombo vya Habari kuhusu mgogoro wa eneo la TONDORONI lililopo katika Wilaya ya Kisarawe kama ilivyokaririwa na baadhi ya Vyombo vya Habari hapa nchini.

Taarifa zilizotolewa na kukaririwa na baadhi ya Vyombo vya Habari kwamba

UKATILI: Mwenyekiti wa Kitongoji auawa, viungo vyake vyapikwa kama mboga


Mwenyekiti  wa Kitongoji    cha  Songambele, Kata ya Ilela Tarafa Inyonga Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, Richard Madirisha (31), ameuawa kikatili kwa kuchinjwa  shingo na kutenganishwa na kiwiliwili na kisha kunyofolewa  viungo vya mikono na miguu na sehemu za siri  na kichwa chake na viungo hivyo kupikwa ndani ya safuria kama mboga.

Kung'oka kwa Pofesa Muhongo ni hitimisho la matukio mengi tangu Waziri huyo aanze kuongoza Wizara ya Nishati na Madini.


Sakata la uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow linaweza kuwa limefanya jina la Profesa Sospeter Muhongo kuzungumzwa sana na kuonekana amekuwa kwenye wakati mgumu tangu lilipoibuka, lakini ukweli ni kwamba lilikuwa hitimisho tu la matukio mengi tangu msomi huyo aanze kuongoza Wizara ya Nishati na Madini.
 
Muhongo, ambaye aliteuliwa na Rais Jakaya Kikwete

Ratiba ya Mkutano wa 18 wa Bunge ,Tarehe 27/01/2015 HADI 07/02/2015.


Hii  ni  Ratiba  ya  Mkutano  wa  18  wa  Bunge  litakaloanza Tarehe  27/01/2015  HADI  07/02/2015. Kutokana  na  urefu  wa  ratiba  hiyo  na  kuwa  ndani  ya  majedwali  kadhaa, ratiba  hiyo  itaonekana 

MATUKIO YA UHALIFU NJOMBE YAONGEZEKA KWA 1.65% MWAKA 2015 UKILINGANISHA NA MWAKA 2014.



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe SACP Fulgency Ngonyani  .

Na Michael Ngilangwa  NJOMBE

J
eshi La Polisi Mkoani  Njombe Limetoa Taarifa Ya  Uhalifu Wa Makosa Ya Jinai Kwa Mwaka 2013/2014 Kuwa Yameongezaka  Kwa Asilimia 1.65  Tofauti  Na Mwaka 2013 Ambapo  Kulikuwa Na Jumla Ya Matukio Ya Uhalifu Wa Makosa Ya Jinai 1090 Ambapo Kwa  Mwaka 2014 Yamekuwa  11,008 Ikiwa na Ongezeko la Matukio 18.



Akizungumza Na Waandishi Wa Habari Akiwa Katika Ukumbi Wa

WANANCHI WAGOMA KWA MUDA WA SAA 3 KUUZIKA MWILI WA KIJANA ALIYEPIGWA RISASI NA POLISI WILAYANI LUDEWA.


Wananchi wa kata ya Lugarawa wilayani Ludewa katika mkoa wa Njombe jana waligoma kwa muda wa masaa 3 kuuzika mwili wa kijana January Mtitu ambaye alipigwa risasi na askari wa jeshi la pilisi Abduel Hamza Nyuki G 6352 D/C wakishinikiza gharama za awali za mazishi zilizogharimiwa na ndugu wa marehemu zilipwe na Jeshi la polisi ndipo mazishi yafanyike.

Licha ya kuwa viongozi wa kiwilaya ambao ni kamati ya ulizi na usalama

ZAIDI YA TANI 20 ZA DAGAA NYASA ZAZUIWA BANDARI YA KYELA.

Na Ibrahim Yassin,Kyela
 
ZAIDI ya  tani 20 za dagaa nyasa kutoka wilaya ya Ludewa mkoani Njombe zimezuiliwa kwenye bandari ya Itungi iliyopo wilayani Kyela mkoani Mbeya zilizokuwa zikisafirishwa kwenda  kuuzwa mikoani kupitia bandari hiyo.


Hatua hiyo ya kuzuiliwa kwa dagaa hizo kumetokana na hatua ya Serikali wilayani Kyela chini ya mkuu wa wilaya Magret Marenga,kufuatia kuzuka hofu kuwa kuna mgodi wa machimbo nchini Malawi kuvujisha maji machafu yanayodaiwa kuwa na sumu hivyo kuwa na hofu ya kupata madhara pindi walapo samaki hizo.


Kufuatia hofu hiyo Serikali mkoani Mbeya ililifunga soko la Samaki wilayani humo pamoja na kuwazuia wavuvi wasivue samaki hadi pale uchunguzi wa mkemia mkuu wa Serikali aliyechukua sampuli ya samaki hizo kwa ajili ya kuzipima na wataruhusu shughuri za uvuvi na uuzwaji wa samaki pindi majibu ya mkemia yatakapo tolewa.


Ikiwa hali hiyo ipo hivyo zaidi ya wavuvi na wafanyabiashara kumi kutoka wilayani Ludewa waliokuwa wakisafirisha dagaa hizo dagaa zao zimezuiliwa katika bandari hiyo hadi pale majibu ya mkemia yatakapotolewa kama zina sumu au laa.


Kufuati Serikali mkoani Mbeya kuzuia zoezi hilo lakini bado agizo hilo linaonekana kupuuzwa baada ya shughuri za uvuvi kuendelea huku wauzaji wa samaki wakitembeza mitaani bila kificho ambapo wafanyabiashara kutoka Ludewa wakizidi kusota Gest wakisubili majibu ya Mkemia mkuu.

Jumamosi, 24 Januari 2015

RAIS ABADILI MAWAZIRI NA MANAIBU WAO



Waziri wa Nishati na Madini mpya, George Simbachawene.
Waziri wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe.

Mwanafunzi wa Kidato cha Pili Ajifungua Ndani ya Daladala Baada ya Kumeza Dawa za Kutoa Mimba


Huyu ndio yule mtoto wa kidato cha pili kajifungua ndani ya daladala

Fahamu Kuhusu Shanga Kiunoni Kwa Mwanamke

Shanga Ni Ishara Hasa Kwa Wanawake Wa Pwani Ya Tanzania,wanawake Wengi Hupenda

Prof. Muhongo Aita Waandishi wa Habari Leo

Leo ni leo. Jumamosi, Januari 24; saa 5 ofisini kwake. Mada kuu ni Escrow. Amewaita waandishi wa habari ili kutoa ya mayoni , haijulikani anataka kusema nini na kuchukua hatua gani , inasemekana kuna viongozi viti havikaliki kwa vile kuna wasiwasi akalipua bomu ambalo halijulikani .
Bunge linatarajia kuanza week ijayo na kuna wabunge wameapa kuwa Muhongo na Chenge wakiingia bungeni siku hiyo hapata kalika.

Nini Maoni yako ya ya hii habari?

Ney wa Mitego na Jack Wolper Kuibua Mahusiano ya Kimapenzi Upya

Na Musa Mateja
BAADA ya kudaiwa kuwa wapenzi na kisha habari hizo kufifia, hatimaye penzi la mwigizaji wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper na Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, limeibuka upya ambapo safari hii Nay ameamua kufunguka hadharani.

Ney wa Mitego na Jack Wolper Kuibua Mahusiano ya Kimapenzi Upya

Na Musa Mateja
BAADA ya kudaiwa kuwa wapenzi na kisha habari hizo kufifia, hatimaye penzi la mwigizaji wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper na Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, limeibuka upya ambapo safari hii Nay ameamua kufunguka hadharani.

Wema Sepetu Ajuta Kutumua Kope za Bandia, Mwenyewe Ajuta na Kusema Haya

Wema Sepetu akiwa na Kope Bandia

Ijumaa, 23 Januari 2015

YANGA NOMA SANA! TFF WATEKELEZA AGIZO KUMFUNGIA REFA TEOFILE

IMG_0086
Na Bertha Lumala
Yanga SC noma sana! Inachokisema TFF wanafuata na kutekeleza. Ndivyo unacyoweza kusema. Ulikumbuka tamko la jana la Yanga SC kuhusu kubaguliwa na kukabwa koo kwa mshambuliaji

Ajuza miaka 90: anasoma darasa la nne


Gogo akiwa darasani na wanafunzi wenziwe.
Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani.
Akiwa ameketi dawati la mbele kabisa darasani ,yuko darasa la tano

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AENDELEA NA ZIARA UNGUJA KASKAZINI

1Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndugu Vuai Ali Vuai mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Kikobweni jimbo la
Chaani mkoa wa Unguja Kaskazini  akiwa katika ziara ya kukagua na kuhimiza utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali ikiwa ni pamoja  kuhimiza uhai wa Chama Cha Mapinduzi mahali ambapo kimelegalega na kuongeza nguvu mahali ambapo kinatekeleza vizuri ilani ya uchaguzi, Katika ziara hiyo Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-UNGUJA KASKAZINI).2Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akielekea kwenye ukubi wa

WANANCHI WAMFANYIA VURUGU MWENYEKITI WA MTAA WA KIGOGO FRESH ANAYEDAIWA KUTAKA KUAPICHWA KINYEMELA

Askari wa Kikosi cha Kutulia Ghasia (FFU), akijaribu kumwokoa mtu

5 BREEKING NEEWS.ASKARI WA JESHI LA POLISI ATOROKA LINDO AMUUA MWANANCHI KW A RISASI WILAYANI LUDEWA.

baadhi ya wananchi waliofika nyumbani kwa marehemu.

Alhamisi, 22 Januari 2015

MAGAZETI YA LEO 23 01 2015: MUHONGO KATIKA WAKATI MGUMU

.

Uhamisho kwa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa January 2015.


21-January-2015.
Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI inatangaza orodha ya Majina 4352 ya watumishi wa Umma waliohamishwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini Januari 2015. Aidha orodha ya watumishi 96 ambao hawakukidhi vigezo vya kuhama nayo imetangazwa.
Maelekezo yote muhimu yapo katika barua ambayo kila mtumishi atapatiwa kupitia kwa Wakurugenzi wa Mamlaka wanazotoka.

MAUAJI YATOKEA NA KUWACHANGANYA WATU AKILI LUDEWA................

 
Habari ambazo zimetufikia hivi punde ni kuwa kijana anayefahamika kwa jina la JANUARY MTITU (MGALAVANU) amepigwa risasi na kufa usiku wa kuamkia leo. chanzo cha kuuawa kwake bado hakijajulukana.
Tukio hilo limetokea wakati mzazi wake Mr. Mgalavanu ambaye ni Mwalimu wa Sekondari katika shule ya Chief Kidulile akiwa anaumwa kutokana na Ajali ya pikipiki.
Ni habari ngumu sana inayoumiza vichwa vya wengi mjini hapa Ludewa kwani ni tukio la ajabu ambalo halijawahitokea kwa siku za hivi karibuni.
Endelea kufuatilia mtandao huu tutaendelea kukujuza nini kinaendelea......................... 

INASIKITISHA SANA: AKAA 3 MUHIMBILI HOSPITAL BILA MATIBABU

 
Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) anayesumbuliwa na uvimbe usoni.
Alikuja Muhimbili ili akafanyiwe upasuaji India, alipelekwa akarudishwa bila kutibiwa, awaita ndugu zake hospitalini.

CHAMELEONE AFUNGUKA: DIAMOND HAJAOA, ZARI HAJAOLEWA KWANI TATIZO LIKO WAPI WAKIWA WAPENZI?


10422036_10205910264180703_4118755449661033438_n


Muimbaji wa Uganda, Jose Chameleone ameuzungumzia uhusiano kati ya Zari Ttale na Diamond Platnumz ambao kwa sasa umekuwa maarufu mno Afrika Mashariki.
Akizungumza na mtandao wa Kenya, Ghafla, Chameleone alisema haoni kama kuna tatizo kwa mastaa hao kuwa wapenzi. “Kama wanapenda, hakuna tatizo,” alisema muimbaji huyo wa Valu Valu.
“Diamond hajaoa na Zari pia hajaolewa. Kuwa na uhusiano wa zamani hakumzuii (Zari) kuwa na uhusiano mwingine.”
Kauli hiyo ya Diamond imekuja siku chache tu baada ya Diamond kutangaza kuwa yeye na Zari wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza.

Kwa upande mwingine alipoulizwa kuhusu Diamond kama msanii, Chameleone alisema: Ni msanii mzuri pia.

 Namba ya wasanii wazuri Afrika Mashariki inazidi kukua. Ndio maana muziki wetu umeanza kuchezwa Nigeria sababu nguvu ni kubwa kutoka Afrika Mashariki.”

MKUTANO WA UPATANISHI WA CHAMA CHA SPLM YA SUDAN KUSINI JIJINI ARUSHA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi wenzie  leo kabla ya kuanza kwa mkutano wa utiaji saini makubaliano ya kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha. Kutoka kushoto ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal,, Naibu Rais wa Afrika Kusini,  Mhe Cyril Ramaphosa, Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Rais Kikwete, Rais Salva Mayardit Kiir, wa Sudani ya Kusini, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Makamu wa Rais wa Zamani wa Sudani ya Kusini Dkt Riek Machar,
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo

Mkutano wa hadhara viwanja vya Jimbo la Uzini Unguja.

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakielekea viwanja vya Mkutano wa hadhara kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahaman Kinana,  
Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahaman Kinana akipandisha bendera ya Mabalozi wa jimbo la Uzini Unguja baada ya kukabidhi bendera kwa mabalozi wote wa jimbo hilo zilizotolewa na Mbunge wa Uzini Mhe. Mohaamed Seif Khatib.


Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg. Vuai Ali Vuai akisisitiza jambo kwa wananchi

Jumla ya Mara Iliyotazamwa