Ijumaa, 16 Januari 2015

REAL MADRID YATOKA SARE NA ATHELETICO FERNANDO TORRES ARUDI

Fernando Torres celebrates opening the scoring for Atletico Madrid after just 49 seconds at the Bernabeu

Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone amesema Fernando Torres amerejea kuwa ''mwanaume'' ndivyo alivyomuita hivyo baada ya mshambuliaji huyo kufunga magoli yake ya kwanza tangu alipojiunga na Atletico madrid.
Torres enjoyed a slice of good fortune as goalkeeper Keylor Navas deflected the ball into the net for his second goal
Mchezaji wa kimataifa wa Uhispania Torres alijiunga na Liverpool mwaka 2007.
Toni Kroos, Ronaldo, Sergio Ramos and James Rodriguez show off their awards before the Copa del Rey tie
Torres alijiunga na Atletico mwanzoni mwa mwezi huu na aliifungia klabu hiyo magoli mawili katika dimba la Bernabeu na kutoka sare ya mabao 2-2 ilipokutana na Real Madrid katika michuano ya Copa del rey.
 Torres celebrates in front of Real Madrid fans after scoring in 4-0 victory over Real Madrid in 2009
Torres naye ameonesha furaha yake na kushukuru wapenzi wake kwa kumuunga mkono.
 Torres celebrates in front of Real Madrid fans after scoring in 4-0 victory over Real Madrid in 2009

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa