Jumatano, 6 Mei 2015

FILIKUNJOMBE AENDELEA KUWA KIVUTIO KWA WANANCHI WA LUDEWA

Filikunjombe akiwaaga wananchi ambao walizuia gari asiondoke ili waendelee kuzungumza naye





Hivi ni baadhi ya vifaa alivyovitoa katika vikundi vya vijana kata ya Mawengi






 licha ya kuwa na ulinzi wa mgambo wananchi humzuia asiondoke

Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amendelea kuwa kivutio kwa wananchi wake pale anapopita katika vijiji mbalimbali na kutoa misaa hali ambayo huwa vigumu kwake anapofunga mikutano yake wananchi humtaka asiondoke ili wabaki wakiongea naye.

Hali hiyo imejitokeza katika kata ya Mawengi na nyingine ambapo wazee wa vijiji huingilia kati kwa kuongea na wananchi ili wamruhusu aendelee na safari zake hata kama wanampenda kupita kiasi cha kuzuia gari ili abaki waendelee kuzungumza naye.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa