Ijumaa, 17 Aprili 2015

BREAKING NEWS: WATU 20 WAMEFARIKI KWA KUFUNIKWA NA KIFUSI, KAHAMA


Wachimbaji madini wadogo 20 waliokuwa wakichimba katika machimbo ya dhahabu ya Kalole wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga, wamefariki dunia baada ya kufunikwa na kifusi usiku wa kuamkia leo.
Mungu azilaze roho za marehemu mahali peponi
@eastafricatv

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa