Jumanne, 28 Aprili 2015

Tanzania na Norway kukarabati mradi wa umeme mtera

Tanzania na Norway kwa pamoja zinashirikiana katika utekelezaji wa mradi wa umeme kukarabati mitambo ya Kidatu na Mtera ili kuwa na upatikanaji wa uhakika wa umeme
.
Hayo yameelezwa na maafisa wa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO wakati waandishi wa habari walipotembelea mitambo hiyo na kuelezwa kuwa mabwawa ya mitambo ya Kidatu na Mtera yalikuwa na maji ya kutosha kwa ajili ya ufuaji umeme.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa