Jumanne, 28 Aprili 2015

WAZIRI MKUU PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA TAKWIMU

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na washiriki wa Kongamano la Takwimu barani Afrika baada ya kufungua mkutano wa kwenye Hoteli ya Firaffe Ocean View jijini Dar es salaam. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Ofisi ya Takwimu ya Taifa, Dr. Albina Chuwa, kulia ni Irena Krizman kutoka Slovenia na wapili kulia ni Pali Lehohla kutoka Afrika ya kusini.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na kulia ni Irena Krizman kutoka Slovenia.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa