Ijumaa, 10 Aprili 2015

Mgomo Wa Madereva Walitikisa jiji la Dar......Polisi Wanatumia Mabomu ya Machonzi, Wananchi nao Wameshika Mawe Kuwakabili Polisi


Haya ni baadhi ya matairi ya magari yaliyochomwa na baadhi  ya Wananchi maeneo ya stendi kuu ya Ubungo jijini Dar. Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanyisha wananchi hao.
 
Baadhi ya Wananchi hawakukubaliana  na hilo nao wakaanza kushika mawe na kuwarushia Polisi, ikawa ni mawe VS Mabomu. Haya yote chanzo ni mgomo wa Madereva ulioanza leo.





Mpekuzi blog

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa