Jumatano, 17 Desemba 2014

FILIKUNJOMBE AFUNGA KAMPENI ZA SERIKALI ZA MITAA KWA KISHINDO LUDEWA MJINI KATIKA VIWANJA VYA SOKO FILIKUNJOMBE AFUNGA KAMPENI ZA SERIKALI ZA MITAA KWA KISHINDO LUDEWA MJINI KATIKA VIWANJA VYA SOKO


















Mbunge wa jimbo la Ludewa anafunga kampeni ya chaguzi za Serikali za mitaa wilayani hapa kwa kishindo muda huu katika viwanja vya soko kuu la wilaya ya Ludewa huku wananchi wakiwa wamefulika kumsikiliza anavyowanadi wagombea wa chama cha mapinduzi mchana huu.

Endelea kufuatilia mtandao huu kwa habari zaidi ambapo mwandishi wetu anaendelea kutujuza kinachoendelea.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa