Jumanne, 16 Desemba 2014

SALAMU ZA CHRISTMASS NA MWAKA MPYA


Mimi na Familia yangu kwa moyo mweupe kabisa tunawatakia heri za Christmas na Mwaka mpya Tuombe Mungu zaidi atuvushe salama tukiwa wenye afya na amani kabisa pamoja na hayo yote tunawaombea wote tusherekee sikukuu kwa Upendo na Amani tele huku tukimshangilia Kristo Yesu Bwana wetu. Amina

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa