Jumapili, 7 Desemba 2014

IDRIS KUTOKA TANZANIA AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA BIG BROTHER AFRICA


Mwakilishi Pekee aliyekuwa amebaki katika Kinyanganyiro cha Shindano la Big Brother Africa Idris amefanikiwa kuwa mshindi wa Shindano hilo lijulikanalo kama Big Brother Hotshots.
Idris aliweza kutabiriwa na wadau wengi kuwa angeweza kuibuka mshindi kutokana na wadau wengi kuvutiwa na staili ya maisha aliyokuwa akiishi katika nyumba hilo la big brother lililoko huko Afrika Kusini.
Idris amekuwa kivutio kwa raia wa nchini Nyingi sana hususani afrika nzima na kuweza kumpigia kura  na hatimaye kuibuka mshindi.
Hongera Idris umeendelea kuiwakilisha vyema Tanzania mara baada ya siku kadhaa tu Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Diamond Platmun Kuibuka na Tuzo tatu za Channel O huko Afrika Kusini

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa