Jumatatu, 22 Desemba 2014

PINDA AKUTANA NA KAIMU OFISA MTENDAJI MKUU WA UWEKEZAJI WA QATAR

PG4A5127
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji ya Qatar, Bw. Ahmed Ali Al Hammad  na ujumbe wake kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 21, 2014.

PG4A5125
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji ya Qatar, Bw. Ahmed Ali Al Hammad  na ujumbe wake kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 21, 2014 .
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A5137
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji ya Qatar, Bw. Ahmed Ali Al Hammad  na ujumbe wake kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 21, 2014.Kulia ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dkt Titus  Kamani

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa