Jumamosi, 6 Desemba 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ABARIKI KANISA LA KIASKOFU LA ROHO MTAKATIFU JIMBO LA KONDOA MKOA WA DODOMA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilali, akiwahutubia Waumini wa Dini ya Kikristo wakati wa sherehe za Kuweka wakfu, Kanisa la Kiaskofu la Roho Mtakatifu Jimbo la Kondoa zilizofanyika jana Desemba , 2014 Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipongeza na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kondoa, Bernadin Mfumbusa, baada ya kuzungumza na waumini wa kanisa la kiaskofu la Roho mtakatifu jimbo la Kondoa jana.
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu na mashekh wa Wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma baada ya kuzungumza na waumini wa Dini ya kikiristo jana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa