Jumamosi, 6 Desemba 2014

MASKINI WASTARA WA BONGO MUVI: INASIKITISHA SANA!

Muigizaji wa kike wa Filamu hapa nchini, Wastara Sajuki amesikitishwa na taarifa za uongo zilizoenea nchini Burundi kuwa alishafariki kwa ajali ya gari. Kupitia ukurasa wake wa matandao wa INSTAGRAM muigizaji huyo ambaye aliondoka hapa nchini juzi kuelekea nchini humo kizazi. Mbali na kuonekana mwenye furaha kwa picha alizoziweka kwenye ukurasa huo akiwa sehemu za ufukweni (Baadhi ya picha kama unavyoziona hapo chini), Wastara alikutana na mashabiki wake na taarifa za kuwa walidhani amekisha fariki ndipo alipozipata.

Hiki ndicho alichokiandika:

Hii imeniskitisha saana baada ya kukutana na mshabiki.wangu.na kusema taharifa walizonazo burundi nilishafariki kitambo kwa ajali.shughuli ilikuwepo nilionekana kma nimefufukia.burundi daah aliyezusha hivyo.naimani nitamzika yeye kabla yangu kigupi sijafa.maahabiki wangu.wa burundi.niko.hai.naendelea.kutumikia taifa.langu.nanyi.pia.Mungu ni.mwema.bado.ananipa.pumzi–Wastara

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa