Jumamosi, 6 Desemba 2014

HATARI SANA! DIAMOND PLATINUMZ NUSURA ACHOMWE KISU!


Licha ya kuiletea sifa kubwa Tanzania kwa kutwaa tuzo tatu za Channel O, mkali anayekimbiza katika anga la muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amenusurika kuchomwa kisu baada ya kushuka kwenye gari na kujichanganya na mashabiki wake.
Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ akisndikizwa na mashabiki wake kutoka uwanja wa ndege wa Dar es Salaam. 
Tukio hilo la kutishia usalama wa staa huyo lilijiri Mitaa ya Ilala jijini Dar,

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa