Jumapili, 14 Desemba 2014

WANUSURIKA KUFA KATIKA AJALI MBAYA

Gari aina ya Toyota Prado lenye namba za usajili T399 BKU likiwa uvunguni mwa roli.
Baadhi ya mashuhuda wakiwa eneo la tukio.
Polisi wa usalama barabarani akiwa eneo la tukio.
Ajali mbaya ya gari imetokea leo asubuhi eneo Temeke Uhasibu ikihusisha roli na gari dogo aina ya Toyota Prado lenye namba za usajili T399 BKU.Ajali hiyo imetokea kutokana na dereva wa gari dogo kuingia barabara kuu bila kuchukua tahadhari, Katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa