Jumapili, 7 Desemba 2014

AJALI

 

 Kampuni ya usafirishaji ya MOSSES Expres Ambayo safari zake ni LUDEWA KWENDA NJOMBE Imepata ajaili maeneo ya mpakani kati ya Mbwila na Luana mbapo ni nje kidogo kutoka wilayani ludewa baada ya gari ya kifusi kuligonga basi hilo kwa nyuma wakati Basi hilo likitoka Ludewa kuelekea Njombe asubuhi hii ya 8/12/2014. Taarifa za awali zinaonyesha hakuna aliyepoteza maisha katika ajali hiyo...........

     Kwa picha na matukio mengine endelea kufuatilia mhimbilikwetu.blogspot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa