Jumatatu, 22 Desemba 2014

DEREVA WA BODABODA AKIMBIA MARA BAADA YA KUMGONGA MTU MMOJA ALIYEKUA AKIVUKA BARABARA NA KUANGUKA NA KUMUUMIZA ABILIA WAKE


 Watu wawili wamenusurika kifo baada ya dereva wa bodaboda kumgonga mtu mmoja aliyekua akivuka katika barabara ya kawawa kinondoni na kisha dereva wa boda boda kukimbia kusiko julikana huku abira wake pamoja na mvuka barabara huyo wakiwa katika hali mbaya.
Tahadhari juu ya uendeshaji salama vyombo vya moto bara barani umeendelea kupigiwa kelele kila uchao haswa katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka lakini bado inaonekana kama hadithi za sungura na fisi .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa