Jumanne, 9 Desemba 2014

DAGAA ZA ZIWA NYANSA UPANDE WA TANZANIA

TUNAJIVUNIA MALI ASILI YETU YA LUDEWA JAPO SOKO NI SHIIIIIIIIIIIIIIIDA SANA!!!!!!
 
Mzee wa  matukio  daima akiwa  na  dagaa  wa  ziwa nyansa eneo la Ludewa  mjini , dagaa kama  hawa  wote  kwa  ziwa  nyasa  ni Tsh 20,000 wakati  kwa mijini  mfano  Iringa   dagaa kama hawa  huuzwa  hadi Tsh 50000
Mwandishi  wa Chanel Ten Ruvuma  Emmanuel Msigwa kulia  akiwa na mzee  wa matukiodaima mmiliki  wa matnado  huu wakiwa  wameshika dagaa ambazo zilikuwa  zikiuzwa,   

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Jumla ya Mara Iliyotazamwa